Kagera Sugar kumtema Rishard, kumchukua Mexime

Aliyekuwa Kocha wa Mtibwa Sugar Mecky Mexime

Baada ya timu ya Kagera Sugar kunusurika kushuka daraja, uongozi wa timu hiyo iliyopo mkoani Kagera unatarajia kumtangaza Mecky Mexime kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS