Kagera Sugar kumtema Rishard, kumchukua Mexime Aliyekuwa Kocha wa Mtibwa Sugar Mecky Mexime Baada ya timu ya Kagera Sugar kunusurika kushuka daraja, uongozi wa timu hiyo iliyopo mkoani Kagera unatarajia kumtangaza Mecky Mexime kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo. Read more about Kagera Sugar kumtema Rishard, kumchukua Mexime