Watumishi wa Umma watakiwa kuwekewa mazingira bora
Waziri wa nchi Ofisi ya rais na Utawala Bora. Mhe Angela Kairuki,
Maafisa na Watendaji mbalimbali wa Utumishi wametakiwa kuwawekea mazingira mazuri watumishi wengie wa Umma ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ukamilifu na kwa wakati.