Miradi ya TEHAMA yatakiwa kushirikiana na Serikali

Taasisi za umma nchini zimetakiwa kushirikiana na Wakala wa Serikali Mtandao eGA katika kupanga na kutekeleza miradi ya TEHAMA serikalini ili kurahisisha mpango wa kubaini na kuondoa urudufu na kuipunguzia serikali gharama za uendeshaji mifumo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS