Stars full kujiamini yawaita Mashabiki kuiua Misri

Nahodha wa Stars Mbwana Samatta [kushoto] akiwa na kocha wake Boniface Mkwasa.

Kocha Mkuu wa kikosi cha timu ya soka ya Tanzania Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa amesema kikosi kimeiva tayari kuwavaa Mafarao wa Misri hapo kesho huku nahodha Mbwana Samatta akiwataka mashabiki kujitokeza uwanjani hapo kesho kutoa hamasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS