Shaa hayupo tena Mj Record

Star wa Bongo Fleva Shaa

Mmiliki wa lebo ya Mj Record Master J amefunguka na kutufahamisha kwamba Msanii Shaa aliyekuwa akifanya kazi zake kupitia usimamizi wa lebo hiyo kwa sasa hasimamiwi tena kazi zake na lebo hiyo .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS