Mshindi wa Airtel Trace Music Stars kuondoka kesho

Melisa John anayeiwakilisha Tanzania kwenye Shindano la Airtel Trace Music Stars (wa kwanza kulia) akiwa na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Sanaa Bi. Leah Kihimbi na Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando.

Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, leo imemkabidhi Bendera ya Taifa, mwanadada Melisa John ambaye ndiye mwakilishi wa Tanzania kwenye Shindano la Airtel Trace Music Stars litakalofanyika jijini Lagos nchini Nigeria na kuhusisha nchi tisa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS