Wapinzani wapongeza serikali mafao ya wabunge
Wabunge wameendelea kujadili bajeti ya serikali ya mwaka 2016/2017 kwa kutoa maoni mbalimbali yatakayosaidia nchi katika maendeleo na uchumi huku kambi rasmi ya upinzani ikipongeza hatua ya serikali kuweka kodi katika kiinua mgongo cha wabunge.