Wapinzani wapongeza serikali mafao ya wabunge

David Silinde,

Wabunge wameendelea kujadili bajeti ya serikali ya mwaka 2016/2017 kwa kutoa maoni mbalimbali yatakayosaidia nchi katika maendeleo na uchumi huku kambi rasmi ya upinzani ikipongeza hatua ya serikali kuweka kodi katika kiinua mgongo cha wabunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS