Polisi yaendelea kuimarisha ulinzi Dodoma Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma Lazaro Mambosasa Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma Lazaro Mambosasa amesema kwamba suala la ulinzi na usalama katika mkoa wa Dodoma linaendelea kufanyiwa kazi kama kawaida ya jeshi la polisi kufanya kazi hiyo mahali popote. Read more about Polisi yaendelea kuimarisha ulinzi Dodoma