RollBall Tanzania waomba sapoti ya wadau nchini

Wachezaji wa mchezo wa RollBall wakifanya mazoezi.

Chama cha mchezo wa RollBall nchini Tanzania TRBA kinatarajia kuwa mwenyeji kwa mara ya kwanza wa michuano ya kimataifa ya mchezo huo kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati itakayofanyika mwezi Januari mwakani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS