Jamali Kisongo amevujisha picha za usajili-Poppe

Moja ya picha iliyovuja mitandaoni ikionyesha kiungo wa Mtibwa Sugar Mohammed Ibrahim "MO" akisaini mkataba wa kuitumikia klabu ya Simba kwa msimu ujao, na kushoto ni Rais wa Simba Evans Aveva akishuhudia kwa umakini

Usajili wa wachezaji wapya wa klabu ya Simba unaendelea kimya kimya, lakini Wakala mmoja amevujisha picha za mchezaji wake aliyemwaga wino kwa wekundu wa msimbazi, kiasi cha kuwaudhi viongozi wa klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS