Mswada wa sheria vyombo vya habari kuanza upya

Naibu waziri wa Habari, Sanaa, Utamuduni na Michezo, Mhe. Anastazia Wambura.

Serikali ya Tanzania imesema mswada wa sheria wa huduma kwa vyombo vya habari utaanza upya na kuwashirikisha wadau wa habari ili kuobresha na kuwa na faida kwa pande zote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS