Cannavaro naye aanza mazoezi mepesi Uturuki

Nahodha wa Yanga, nadir Haroub Cannavaro

Kuelekea katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika kati ya Yanga dhidi ya TP Mazembe, Meneja wa timu ya Yanga Hafeedh Salehe amesema,wachezaji watatu wapo katika mazoezi mepesi kutokana na kutokuwa vizuri kiafya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS