Wakazi wa Kijiji cha Hiyari Mtwara walia na Maji

Mmoja wa wakazi wa Masasi Mtwara akichota Maji katika mto Nangoo kwa ajili ya matumizi ya Nyumbani

Adha ya uhaba wa maji safi na salama ni moja ya changamoto kubwa wanayokabiliana nayo wananchi wa kijiji cha Hiayari, halmashauri ya wilaya ya Mtwara hali ambayo inawalazimu kununua Ndoo moja kwa shilingi Miatano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS