Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, kazi, vijana na Ajira, Mhe. Anthony Mavunde.
Serikali imewataka vijana wanaopata mafunzo katika taasisi mbalimbali nchini kutumia taaluma hiyo kujiari na kujikwamua kiuchumi pamoja na kuisadia jamii inayowazunguka.