Ulaya itanipotezea soko la muziki - Linex
Masanii wa bongo fleva Linex Sunday Mjeda amefunguka ndani ya Enews kuhusiana na maneno yanayoendelea mitandaoni kuhusiana na kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake ambaye pia alimshirikisha kwenye video ya wimbo wake wa 'Kwa Hela' kama video queen