Serikali yatoa muongozo wanafunzi wenye ulemavu

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Mhandisi Stela Manyanya

Serikali imetoa miongozo wa namna ya ujenzi wa majengo ya shule za msingi na sekondari pamoja na utengenezaji na ununuzi wa samani, ili kuhakikisha kuwa miundombinu inaboreshwa kukidhi mahitaji ya wanafunzi wenye ulemavu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS