Vijana watakiwa kuanzisha vikundi vya ujasiriamali

Vijana wakiwa katika mafunzo ya Ujasirimali(Picha na Maktaba).

Vijana Mkoani Mtwara, wameshauriwa kuunda vikundi vya ujasiriamali, vitakavyowawezesha kupata mikopo kwa urahisi na kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo itakayowakwamua kiuchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS