Sadiki aonya watumishi watakaowapa mimba wanafunzi

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Said Meck Sadiki

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Said Meck Sadiki amekemea vikali tabia ya walimu pamoja na watumishi wa umma wanaowarubuni wanafunzi wa shule katika mkoa huo kwa kuwapa mimba na kuwaharibia maisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS