Mavunde awataka vijana kuchapa kazi kujikwamua

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, vijana na Ajira, Anthony Mavunde.

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, vijana na Ajira, Anthony Mavunde,amewataka vijana nchi kuachana tabia ya kutopenda kufanyakazi na badala yake wafanye kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS