Jaffo aagiza ujenzi wa miundombinu Soko kuu Dodoma

Naibu Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. Seleman Jaffo.

Ujenzi wa barabara ya Soko Kuu la Majengo Mkoani Dodoma uko mbioni kuanza Kujengwa baada ya kukaa muda mrefu bila matengenezo hali iliyowafanya wafabiashara kushindwa kufanya biashara zao kwa ufanisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS