Halmashauri zote nchini hazijitegemei kibajeti
Waziri ofisi ya Rais Tamisemi Mheshimiwa George Simbachawene amesema kwa sasa hakuna halmashauri hata moja nchini ambayo inauwezo wa kujitegema kwa asilimia 10 ya matumizi yake ya kibajeti walizojitengea.

