Wanawake watakiwa kujumuishwa kusaka amani Sudan
Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala ya wanawake, amani na usalama, Bineta Diop amesema wanawake wa Sudan Kusini wamechoka kudhalilishwa na kunyanyapaliwa na wakati umewadia kuwajumuisha katika mchakato wa amani.

