Pambano la Tyson Fury na Klitschko layeyuka

Wladimir Klitschko na Tyson Fury

Bingwa wa masumbwi ya uzani mzito kutoka Uingereza Tyson Fury ameahirisha pambano lake na Wladimir Klitschko kwa mara ya pili kwa sababu ya afya yake kuwa katika hatihati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS