Sipo tayari kumzungumzia Juma Nature –KR Muller

Msanii Kr Muller kushoto na Juma Nature kulia

Msanii maarufu wa Bongo Fleva nchini KR Muller amesema hawezi kumzungumzia msanii mwenzake Juma Nature kuhusu kauli zake kwamba ana wasiwasi KR anatumia madawa ya kulevya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS