Bosi CIA amuonya Trump kuhusu mkataba wa nyuklia
Mkurugenzi wa Shirika la Ujasusi nchini Marekani CIA John Brennan amemuonya Rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump kwamba ikiwa atasitisha mkataba wa nyuklia na Iran litakuwa jambo la hatari na la kustaajabisha.

