Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida afariki dunia

SACP Peter Kakamba (enzi za uhai wake)

Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) EX Peter Kakamba amefariki dunia alfajiri ya tarehe 30/11/2016 katika hospital ya taifa Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS