Zaidi ya watu 16,000 wakosa makazi nchini Syria Baadhi ya familia zilizokosa makazi nchini Syria Umoja wa matifa umesema takribani raia 16,000 wametawanyika nchini Syria baada ya majeshi ya serikali kusonga mbele kuukamata mji wa Aleppo uliokuwa ukishikiliwa na waasi. Read more about Zaidi ya watu 16,000 wakosa makazi nchini Syria