Zaidi ya watu 16,000 wakosa makazi nchini Syria

Baadhi ya familia zilizokosa makazi nchini Syria

Umoja wa matifa umesema takribani raia 16,000 wametawanyika nchini Syria baada ya majeshi ya serikali kusonga mbele kuukamata mji wa Aleppo uliokuwa ukishikiliwa na waasi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS