'Wanawake' hawashushi kiwango cha mchezaji: Madadi

Salum Madadi (Kulia) akiwa katika kipindi cha 5Sports. Wengine ni watangazaji wa kipindi hicho

Mkurugenzi wa ufundi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Salum Madadi amesema mchezaji wa mpira wa miguu kuwa katika mahusiano ya kimapenzi au kufanya starehe wakati wa mapumziko ya ligi, hakuathiri kiwango chake chake uchezaji kama inavyodaiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS