Pombe kali 'yachukua' maisha ya kijana

wakazi wa Tunduma wakiwa katika shughuli zao.

Mkazi wa  mtaa wa Mgombani katika mji mdogo wa Tunduma wilayani Mbozi mkoani Songwe amekutwa akiwa amefariki kutokana na kile kinachotajwa kuwa ni unywaji pombe kali kupita kiasi pasipo kula.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS