Majaliwa awataka watanzania kupeleka fedha benki

Waziri Mkuu akizungumza na wananchi wilayani Karatu

Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi kuacha tabia ya kuhifadhi fedha nyingi majumbani na badala yake wajenge utamaduni wa kuzipeleka benki kuepusha kuhatarisha usalama wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS