Wahu kushusha burudani usiku wa EATV Awards 2016

Wahu

Wasanii watakaowasha moto katika usiku wa Tuzo za EATV Desemba 10 utakaotikisa anga la Afrika Mashariki kutokea ukumbi wa Mlimani City Jiji Dar es Salaam wameendelea kuwekwa hadhani ambapo leo mkali kutoka Kenya, Wahu, ametangazwa rasmi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS