Azam FC yaanza kukisuka upya kikosi chake

Kikosi cha Azam FC

Uongozi wa Klabu ya Azam FC, kwa kushirikiana na benchi la ufundi la timu hiyo umesema, hivi sasa upo kwenye mchakato wa kukiongezea nguvu kikosi hicho kwa ajili ya kufanya vizuri katika mzunguko wa pili wa ligi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS