Azam FC yaanza kukisuka upya kikosi chake
Uongozi wa Klabu ya Azam FC, kwa kushirikiana na benchi la ufundi la timu hiyo umesema, hivi sasa upo kwenye mchakato wa kukiongezea nguvu kikosi hicho kwa ajili ya kufanya vizuri katika mzunguko wa pili wa ligi hiyo.