Rais Magufuli amlilia aliyekuwa RPC Singida

Baadhi ya askari mkoani Singida wakiongoza viongozi na wakazi wa Singida shughuli ya kuaga mwili wa marehemu Kakamba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Ernest Mangu kufuatia kifo cha Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida SACP Peter Kakamba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS