Msafara wa ndege za ajabu wawasili nchini

Baadhi ya marubani wa msafara wa ndege za kale (Vintage) wakiwa mbele ya moja ya ndege hizo baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume kisiwani Zanzibar

Msafara unaovutia macho ya watu wengi duniani wa ndege za zamani, ambao umeanzia nchini Ugiriki na kumalizikia nchini Afrika Kusini umewasili nchini katika uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume kisiwani Zanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS