Wagonjwa 4 kati ya 7 wa tezi dume, hufariki dunia
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameiomba Wizara ya Afya Maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto kuanzisha kampeni ya kutokomeza ugonjwa wa tezi dume kutokana na idadi kubwa ya watu wanaofariki sasa.