Msafara wa ndege za ajabu wawasili nchini
Msafara unaovutia macho ya watu wengi duniani wa ndege za zamani, ambao umeanzia nchini Ugiriki na kumalizikia nchini Afrika Kusini umewasili nchini katika uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume kisiwani Zanzibar.