Ajali yaua watu 9 mkoani Iringa

Gari ya abiria iliyogongwa na lori

Ajali ya barabarani iliyotokea saa 12 jioni ya leo mkoani Iringa ikihusisha lori na gari la abiria aina ya Hiece, imesababisha vifo vya watu 9 na majeruhi zaidi ya 18.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS