Wizara ya afya yakamata kiwanda feki cha pombe

Naibu Waziri Wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Hamis Kigwangalla wa kwanza kulia akiwa ameshika beseni lililojaa vizibo vya konyagi .

Naibu Waziri Wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Hamis Kigwangalla ameongoza kikosi kazi katika msako wa viwanda vinavyotengeneza 'pombe kali' feki ikiwemo viroba na kufanikiwa kukamata kiwanda feki kilicho maeneo ya Sinza, DSM

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS