Watoto 60 waliopewa mafunzo ya kigaidi, wanaswa

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro

Jumla ya watoto 60 wamekamatwa katika kipindi cha mwaka mmoja na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam wakiwa wameachishwa masomo na kuingizwa katika mafunzo ya kigaidi ikiwemo kulenga shabaha kwa kutumia silaha na uporaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS