Nahangaika kupigania namba yangu - Samatta Mbwana Ally Samatta na mpinzani wake Nikolaos Karelis (Kulia) Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta a.k.a 'Sama Goal' amesema yupo katika wakati mgumu na anahitaji kupambana kurudisha nafasi yake katika klabu ya KRC Genk. Read more about Nahangaika kupigania namba yangu - Samatta