Matumla kukaa nje ya ulingo mwaka mzima
Baada ya Bondia Mohamed Matumla kufanyiwa upasuaji wa kichwa kutokana na maumivu aliyoyapata baada ya kupigwa na Bondia Mfaume mfaume katika pambano lisilo la ubingwa, Taasisi ya tiba ya Mifupa Muhimbili MOI, imeeleze hali yake kwa sasa.