G Nako afunguka kuhusu ku-copy wimbo wa Mghana

Jux na G nako wakiwa pamoja picha ambayo imetumika kwenye video ya 'Go Low'

Mkali wa hip hop kutoka 'Weusi', G Nako Warawara amekanusha zile tetesi zilizozagaa kuwa wimbo wake mpya ’Go Low’ aliofanya na Jux ni wa ku-copy na ku-paste kutoka kwa Flowking Stone wa nchini Ghana na kusema kuwa inawezekana idea zikawa zimefanana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS