Nape atangaza vita na waliovamia maeneo ya michezo

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (aliyesimama mbele) akiongea na Wageni waalikwa pamoja na Waandishi wa habari wakati wa hafla ya utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa kiwanja cha Baseball nchini kati ya Serikali ya Tanzania na Japan leo 15 Februari, 2017 Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye amewataka wananchi waliojenga maeneo ya wazi yaliyotengwa kwa ajili ya Viwanja vya Michezo kuhakikisha wanayaachia ili yaweze kutumika kama ilivyopangwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS