Mavugo aipeleka Simba robo fainali Shirikisho
Mshambuliaji wa Simba, raia wa Burundi, Laudit Mavugo, ameendelea kuwa moto baada ya leo kuifungia Simba bao moja na la pekee dhidi ya African Lyon na kuivusha hadi hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la TFF.