Kikwete afunguka kuhusu utajiri wake

Ridhiwan Kikwete - Mbunge wa Chalinze

Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete amefunguka kuhusu madai ya baadhi ya watu kuwa ana utajiri wa kutisha na kwamba anamiliki mali nyingi, jambo ambalo limekuwa likifanya watu hao watilie shaka njia aliyotumia kupata utajiri huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS