Mwakyembe alivyozidiwa ujanja na Agnes Masogange

Mwakyembe (Kushoto) mwaka 2013 akionesha jinsi Masogange alivyopita katika Uwanja wa Ndege akiwa na mzigo bila kufanyiwa ukaguzi

Waziri wa Sheria na Katiba Dkt. Harrison Mwakyembe ameendelea kufunguka jinsi alivyokwama kudhibiti upitishwaji wa dawa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam wakati alipokuwa Waziri wa Uchukuzi hadi kuzidiwa kete na Agnes Masogange

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS