Adhabu za kikatili mashuleni zapigwa marufuku Moja ya adhabu ambazo hutolewa mashuleni Serikali imepiga marufuku tabia ya baadhi ya waalimu kutoa adhabu kali na za kikatili kwa wanafunzi na badala yake waalimu wameelekezwa kutoa adhabu kulingana na taratibu na sheria zilizowekwa. Read more about Adhabu za kikatili mashuleni zapigwa marufuku