Waziri Kigwangalla ataka ulinzi uimarishwe

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla ameuagiza uongozi wa wakala TFS kujenga kituo cha ulinzi wa kudumu katika eneo la chanzo cha maji ya mto Zigi kilichopo ndani ya Hifadhi ya Mazingira Asilia Amani ili kulinda chanzo hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS