Majaliwa aagiza watu wanaodanganya washughulikiwe

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameliagiza Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua kali wananchi wote wanaotumia vibaya namba za mawasiliano za jeshi hilo kwa kutoa taarifa za uongo kuhusu matukio ya majanga ya moto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS