Simba yaikalisha tena Yanga SC
Mabingwa wa Tanzania Bara Simba SC, wamewakalisha watani wao wa jadi Yanga SC kwenye majina ya wachezaji walioteuliwa kuwania Tuzo ya mchezaji Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu uliomalizika wa 2017/18 kwa kuingiza wachezaji sita huku Yanga wakiwa watatu.