Serikali yaahidi kupunguza umasikini Tanzania Serikali imesema kuwa ina mpango wa kuunganisha ukuaji wa uchumi na maendeleo ya wananchi ili kuendelea kupunguza umasikini kutoka asilimia 16.7 ya sasa hadi kufikia asilimia 12.7 ifikapo mwaka 2020. Read more about Serikali yaahidi kupunguza umasikini Tanzania