Mwanafunzi wa chuo afariki juu ya nguzo ya umeme

Fundi wa umeme

Mwanafunzi mmoja wa chuo cha mafunzo Wilaya ya Wete, Pemba aliyejulikana kwa jina la, Hemed Suleima Seif (40) amefariki baada ya kupigwa na shoti ya umeme wakati akijaribu kufanya matengenezo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS