Mwanafunzi wa chuo afariki juu ya nguzo ya umeme Fundi wa umeme Mwanafunzi mmoja wa chuo cha mafunzo Wilaya ya Wete, Pemba aliyejulikana kwa jina la, Hemed Suleima Seif (40) amefariki baada ya kupigwa na shoti ya umeme wakati akijaribu kufanya matengenezo. Read more about Mwanafunzi wa chuo afariki juu ya nguzo ya umeme