Mapya yaibuka Mbowe kupokonywa ofisi na DC Sabaya
Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Hai linaloongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, Bi Irene Lema amekanusha taarifa ya kupokonywa ofisi ya Mbunge wa Jimbo hilo kama ilivyotangazwa na Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya hivi karibuni.

