Mapya yaibuka Mbowe kupokonywa ofisi na DC Sabaya

Mbunge wa Jimbo la Hai Freeman Mbowe

Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Hai linaloongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, Bi Irene Lema amekanusha taarifa ya kupokonywa ofisi ya Mbunge wa Jimbo hilo kama ilivyotangazwa na Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS