Wachezaji wa timu ya taifa ya Nigeria inayoshiriki AFCON ya soka la ufukweni nchini Misri.
Timu ya taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni leo inakabiliwa na kibarua kigumu dhidi ya Nigeria katika mchezo ambao utaamua hatma ya timu hiyo kwenye kundi B la michuano ya AFCON inayoendelea nchini Misri.