Jamaica wampokea Buju kwa furaha Wasanii nchini Jamaica wameonesha kuwa na furaha kubwa wakimkaribisha nyumbani msanii mwenzao mkongwe kwenye muziki wa reggae nchini humo, Buju Banton, ambaye alikuwa kifungoni nchini Marekani. Read more about Jamaica wampokea Buju kwa furaha